1. main content
  2. main navigation
  3. extra content
  4. head navigation
  5. search
  6. Choose form 30 Languages


 

 | 20.03.2010 | 02:00 UTC

Majadiliano ya amani ya Mashariki ya Kati kuanza upya hivi karibuni

MOSCOW:

Majadiliano ya amani kati ya Israel na Wapalestina yaliyokwama, huenda yakaanza upya hivi karibuni. Hiyo ni kwa mujibu wa wapatanishi wa kimataifa waliokutana siku ya Ijumaa mjini Moscow, Urusi.

Wajumbe wa Marekani,Umoja wa Mataifa,Umoja wa Ulaya na Urusi - maarufu kama kundi la pande nne- walikutana kujadili mapendekezo mapya kwa azma ya kuwarejesha Wapalestina na Waisraeli katika meza ya majadiliano.

Mjumbe maalum katika Mashariki ya Kati, Tony Blair amesema ni matumaini yake kuwa karibuni utapatikana mpango utakaoanzisha majadiliano yasio ya uso kwa uso. Wakati huo huo, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon amewahimiza Waisraeli na Wapalestina kutekeleza wajibu wao katika jitahada za kutafuta amani.



 
Wafanyakazi
Waliochutama kutoka kushoto: Sekione Kitojo,Halima Nyanza,Josephat Charo na Ramadhani Ali. Waliosimama kutoka Kushoto: Susanne Bergers-Rose,Abdul Mtullya,Saumu Mwasimba,Mohamed Abdulrahman,Othman Miraji, Andrea Schmidt,Thelma Mwadzaya, Mohamed Dahman,Oumilkher Hamidou,Samia Othman na Nina Markgraf

DW-TV EUROPE live

Journal

We're sorry, due to legal issues this content can not be transmitted as live stream.

If you are inside the United States, it is still possible for you to enjoy DW-TV. For more information, please click here.

SHINDANO JIPYA LA IDHAA YA KISWAHILI
Simu ya mkononi, zawadi mojawapo kwa washindi
Kiswahili On Your Desktop via RSS
RSS