1. main content
  2. main navigation
  3. extra content
  4. head navigation
  5. search
  6. Choose form 30 Languages


 

Matukio ya Kisiasa | 09.10.2008

Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo yailaumu Rwanda kwa jeshi lake kuunga mkono wapiganaji wa CNDP wa Laurent Nkunda

Jeshi la DRC linahakikisha uungwaji mkono wa wanajeshi wa Rwanda kwa wapiganaji wa CNDP wa Laurent Nkunda.

Kwa upande wake serikali ya Kongo imeomba Baraza la Usalama la umoja wa mataifa liitahadharishe Rwanda kutokana na uvamizi wa ardhi yake na wanajeshi wa nchi hiyo.MONUC imetoa mwito wa usitishwaji mapigano kwenye mtaa wa Rutshuru.

Taarifa kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo.



 




 
 
Share this article

Send us an e-mailSendPrint

More on the topic



 
Picture of the Day
ImageOfTheDay

DW-TV EUROPE live

Journal (english) - With In Depth