Masuala ya Jamii | 07.01.2009
Kenya na Uganda kujenga njia ya reli

Kenya na Uganda zina mpango wa kujenga njia mpya ya reli kutoka katika bandari ya Mombasa kwa lengo la kukabiliana na ongezeko la biashara baina ya nchi za Afrika Mashariki na nchi jirani zisizo na bandari. »Mehr zu: title"
Masuala ya Jamii | 07.01.2009
Bunge la Ethiopia laridhia sheria, kuwekea vikwazo mashirika ya kiraia yanayofadhiliwa zaidi.

Bunge la Ethiopia limeridhia mswada uliozua ubishi wa kuyawekea vikwazo, mashirika ya misaada, ambayo yanayopokea zaidi ya asilimia 10 ya ufadhili wa kigeni katika kuendesha shughuli zao. kuendesha shughuli zao. »Mehr zu: title"
Masuala ya Jamii | 07.01.2009
Bilionea la Kijerumani lajiua baada ya biashara zake kwenda mrama

Tajiri mmoja mkubwa hapa Ujerumani aliyekuwa akimiliki makampuni na viwanda kadhaa,Adolf Merckle amejiua baada ya biashara zake kuingia katika hasara kubwa. »Mehr zu: title"
Masuala ya Jamii | 07.01.2009
Billionea la Kijerumani lajiua baada ya kupata biashara zake kwenda mrama

Tajiri mmoja mkubwa hapa Ujerumani aliyekuwa akimiliki makampuni na viwanda kadhaa,Adolf Merckle amejiua , baada ya biashara zake kuingia katika hasara kubwa. »Mehr zu: title"
Podcasting & Feeds | 18.12.2008
RSS-Feeds Deutschkurse

Hier finden Sie eine Zusammenstellung aller RSS-Feeds der Redaktion Deutschkurse. »Mehr zu: title"







